Ofisi
 ya Taifa ya Takwimu NBS imesema mfumuko wa bei wa taifa kwa mwezi 
Januari 2015 umeshuka na kufikia asilimia 4.0 kutoka asilimia 4.8 ya 
mwezi wa Desemba mwaka jana kutokana na kupungua kwa bei ya bidhaa na 
huduma ambazo ni pamoja na Mahindi, Unga wa Mahindi, Samaki na Mihogo 
pamoja na kushuka kwa bei ya nishati ya mafuta ikiwa ni pamoja na Mafuta
 ya taa.






 

 
 
 
 
 
 
 
 
0 comments:
Post a Comment